Saturday, 30 April 2016

KATIBU WA BUNGE AONGOZA KIKAO CHA MAANDALIZI YA MKUTANO WA MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI.

1Mwenyekiti wa kikao cha Makatibu wa Mabunge wa Afrika Mashariki Dkt. Thomas Kashilila akiongoza kikao cha maandalizi ya mkutano wa Maspika wa Afrika Mashariki leo jijini Arusha.

MSD Yaigeuzia Kibao Muhimbili Kuhusu Kuhusu Utata wa Dawa Uliobuliwa na CAG.

SeeBait
Sakata la upotevu wa vifaatiba na dawa kutoka Bohari ya Dawa (MSD) kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa kipindi cha miaka minne limeingia katika sura mpya baada ya MSD kuigeuzia kibao hospitali hiyo, huku ikitoa ushahidi wa ankara 23 zilizotumika kupelekea vifaa hivyo kwa kipindi cha miaka minne.

MWILI WA MAMA LUCY KIBAKI KUWASILI KENYA JUMAPILI.

Mwili Mama Lucy Kibaki ambaye ni mke wa rasi wa zammani wa Kenya utawasili kwa ndege Jijini Nairobi, ukitokea London alipofariki dunia akipatiwa matibabu.

UJENZI WA UWANJA WA KISASA WA MAO ZANZIBAR WANUKIA.

Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utalii Utamaduni na Michezo Zanzibar Ndg Omar Hassan Omar,(King) akisalimiana na Ofisa wa Ubalozi ya China Zanzibar Chen Li, wakati alipofika Wizara ya Habari kwa utilianaji wa saini ya ujenzi wa Uwanja wa Kisasa wa Mpira wa Mao hatua ya pili ya makubaliano hayo kwa hatua za kuaza ujenzi.

MBUNGE WA JIMBO LA VUNJO ,JAMES MBATIA AKABIDHI MSAADA WA CHAKULA KWA WAHANGA WA MAFURIKO.



Diwani wa kata ya Kahe ,Rodrick Mmanyi akizungumza baada ya Mkurugenzi wa Idara ya Maafa nchini,Brigedia Jenerali ,Mbazi Msuya kutembelea kata hiyo kutizama athari zilizotokana na mafuriko.