Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipunga mkono kwenye kikundi cha ngoma mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Entebe nchini Uganda.
Wednesday, 11 May 2016
Tuesday, 10 May 2016
MBUNGE WA DODOMA MJINI NA NAIBU WAZIRI WA KAZI, VIJANA NA AJIRA, MHE. ANTONY MAVUNDE ATEMBELEA KAMBI TIBA YA GSM DODOMA
Mbunge wa Dodoma Mjini na Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde leo amefanya ziara ya kushtukiza katika kambi tiba ya GSM Foundation inayofanywa na kikosi cha Madaktari bingwa kutoka hospitali ya MOI, ambayo kuanzia leo imepiga kambi Dodoma baada ya kutoka katika mikoa ya Mwanza, Singida, na Shinyanga.
SHIWATA KUMKABIDH SAMATTA ENEO JUNI 4
BABA Mzazi wa Mchezaji bora wa Soka bara la Afrika, Ali Samatta (katikati) akiwa na Katibu Mkuu wa Mtandao wa Wasanii Tanzania (SHIWATA) Michael Kagondela kulia na Mhasibu wa mtandao huo, Asha Salvador baada ya kumkabidhi kadi ya uanachama na katiba baada ya kikao cha kuthibitisha mwanae kukubali kupewa ekari tano za kujenga kituo cha wanamichezo, Mkuranga
Subscribe to:
Posts (Atom)

