Thursday, 7 April 2016

Winnie mandela agoma madai ya kumiliki nyumba.

Mtalaka wa Mzee Nelson Mandela, Winnie Mandela amejikuta akigonga mwamba mahakamani baada ya shauri lake alilofungua la madai ya kupewa umiliki wa nyumba ya Mandela iliyopo Kijiji cha Qunu, kutupiliwa mbali.

UMOJA WA ULAYA(EU) WAZINDUA PROGRAMU WA KUZISAIDIA ASASI ZISIZO ZA KISERIKALI HAPA NCHINI

Balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Bw. Roeland Van De Geer kizungumza jambo wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa programu ya kusaidia mashirika yasiyo ya kiserikali iliyofanyika jana. Picha na Geofrey Adroph

Je ulipitwa na story ya Rais Magufuli na Rais Kagame Kigali leo kwenye kumbukumbu ya mauaji ya Kimbari .


Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania yupo nchini Rwanda kwenye ziara ambayo ameianza

Je unajua vitu vingi vya ajabu vyatokea dunia Mwanafunzi wa kiume apata ''hedhi''

George Fellowes ni mwanafunzi wa chuo kikuu mwenye umri wa miaka 22 na anaamni kwamba hata yeye hupatwa na ''hedhi ya kiume''.

HUU NDIO MSIMAMO WA UFARANSA WAPITISHA SHERIA INAYOKATAZA KUNUNUA NGONO.

Nchi ya Ufaransa imepitisha sheria inayokataza kulipia ngono na mtu atakayebainika kutenda kosa la kununua ngono atatozwa faini ya dola 4,274.