Mstahiki Meya wa Manipsaa ya Iringa Mh Alex kimbe na Mkuu wa wilaya ya Iringa Mh Richard Kasesela leo waliungana na walimbwende walio shiriki na wale watakao shiriki mashindano ya ulimbwende mjini Iringa kufanya usafi usafi katika hospitali ya Rufaa ya Iringa.
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango, amesema Serikali ya Awamu ya Nne iliyokuwa chini ya Rais Jakaya Kikwete haikukomba fedha katika Hazina kama ambavyo baadhi ya wabunge wamedai, hata Shirika la Kimataifa la Fedha (IMF), lilifanya tathmini na kutoa taarifa safi.